Utangulizi
UNAWAZA NAMNA GANI?
Ikiwa mutu anakuuliza kama mbinguni kuko namna gani, unaweza kumuambia nini??
Tunaweza kujifunza mambo mengi kutoka kwa Yesu kwa sababu alisema hivi: “Mimi ninatoka kwenye makao ya juu.”—Yohana 8:23.
Munara wa Mulinzi huu unazungumuzia mambo yenye Yesu na Baba yake walifunua kuhusu mbinguni.