UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 15-17
Juu ya Nini Yehova Alipatia Abramu na Sarai Majina Ingine?
Yehova alimuona Abramu kuwa mutu mwenye hana kosa. Wakati alimupatia Abramu habari zaidi juu ya ahadi yake, alipatia Abramu na Sarai majina yenye kuwa na maana ya kiunabii.
Sawa tu na majina yao, Abrahamu akakuwa baba ya mataifa mengi na Sara akakuwa mama ya wafalme.
Abrahamu
Baba ya Mataifa Mengi
Sara
Mama ya Wafalme
Hatuwezi kujichagulia jina wakati wa kuzaliwa. Lakini kama vile Abrahamu na Sara, tunaweza kujifanyia sifa ya muzuri. Ujiulize hivi:
‘Ninaweza kufanya nini ili Yehova anione kuwa mutu mwenye hana kosa?’
‘Niko najifanyia jina gani pamoja na Yehova?’