Maelezo ya Chini
c Matayo 23:35 inasema kama Zekaria alikuwa mutoto wa Barakia. Inasemekana kama pengine Yehoyada alikuwa na majina mbili, sawa vile watu wengine wenye kutajwa mu Biblia (linganisha Matayo 9:9 na Marko 2:14), ao kama Barakia alikuwa tate ao babu ya Zekaria.