-
Mwanzo 45:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Nitakupa chakula huko, kwa maana bado kuna miaka mitano ya njaa kali.+ La sivyo, utakuwa maskini, wewe na nyumba yako na kila kitu ulicho nacho.’”
-
-
Mwanzo 47:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Kwa nini tufe ukituangalia, sisi na ardhi yetu? Tununue sisi pamoja na ardhi yetu tupate chakula, nasi pamoja na ardhi yetu tutakuwa watumwa wa Farao. Tupe mbegu ili tuendelee kuishi, tusife, na ardhi yetu isibaki ukiwa.”
-