Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 5 Na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova+ nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli miongoni mwao.”

  • Kutoka 8:9, 10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 Kisha Musa akamwambia Farao: “Kwa heshima yako niambie wakati unaotaka nimwombe Mungu awaondoe vyura kutoka kwako, kutoka kwa watumishi wako, kutoka kwa watu wako, na kutoka katika nyumba zenu. Watabaki katika Mto Nile tu.” 10 Farao akamwambia: “Kesho.” Basi Musa akasema: “Itakuwa kama unavyosema, ili ujue kwamba hakuna yeyote aliye kama Yehova Mungu wetu.+

  • Kutoka 8:22
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 22 Siku hiyo, hakika nitaitenga nchi ya Gosheni, wanakoishi watu wangu. Hakuna nzi yeyote atakayepatikana huko,+ na kwa jambo hilo utajua kwamba mimi, Yehova, niko humu nchini.+

  • Kutoka 9:29
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 29 Kwa hiyo Musa akamwambia: “Mara tu nitakapoondoka jijini, nitainyoosha mikono yangu mbele za Yehova. Ngurumo itakoma na mvua ya mawe haitaendelea kunyesha, ili ujue kwamba dunia ni ya Yehova.+

  • Kutoka 14:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 4 Nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye atawafuatia, nami nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote;+ na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi Waisraeli wakafanya hivyo.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki