13 Basi Musa akaondoka pamoja na Yoshua mhudumu wake,+ naye Musa akapanda kwenye mlima wa Mungu wa kweli.+ 14 Lakini alikuwa amewaambia wale wazee: “Tungojeeni hapa mpaka tutakaporudi.+ Haruni na Huru+ wako pamoja nanyi. Yeyote aliye na kesi anaweza kuwapelekea.”+