-
Mambo ya Walawi 7:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 “‘Sasa hii ndio sheria ya dhabihu ya ushirika+ ambayo mtu yeyote anaweza kumtolea Yehova:
-
-
Mambo ya Walawi 7:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Atatoa mkate mmoja kutoka katika kila toleo kuwa fungu takatifu kwa Yehova; litakuwa la kuhani anayenyunyiza damu ya dhabihu za ushirika.+
-