-
Mambo ya Walawi 3:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 “‘Ni sheria ya kudumu kwa vizazi vyenu, katika makao yenu yote: Msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”
-
-
1 Samweli 14:33Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
33 Basi Sauli akaambiwa hivi: “Tazama! Watu wanamtendea Yehova dhambi kwa kula nyama pamoja na damu.”+ Ndipo akasema: “Mmetenda kwa ukosefu wa imani. Bingirisheni jiwe kubwa juu yangu mara moja.”
-