-
Mambo ya Walawi 2:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 “‘Mkitoa nafaka ambayo imeokwa kwenye jiko, inapaswa kuwa ya unga laini, mikate ya mviringo isiyo na chachu na iliyokandwa kwa mafuta, au mikate myembamba isiyo na chachu ambayo imepakwa mafuta.+
-
-
Mambo ya Walawi 6:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.
-