-
2 Samweli 6:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Daudi alipomaliza kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, akawabariki watu katika jina la Yehova wa majeshi.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 6:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Kisha mfalme akageuka na kuanza kulibariki kutaniko lote la Waisraeli huku kutaniko lote la Waisraeli likiwa limesimama.+
-