-
Mambo ya Walawi 1:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “‘Hata hivyo, ikiwa anamtoa ndege kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa Yehova, atamtoa njiwa tetere au hua mchanga.+
-
-
Mambo ya Walawi 12:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Lakini ikiwa hawezi kuleta kondoo, basi anapaswa kuleta njiwa tetere wawili au hua wawili wachanga,+ mmoja kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa na wa pili kwa ajili ya dhabihu ya dhambi, naye kuhani atamtolea dhabihu hizo ili kufunika dhambi yake, kisha atakuwa safi.’”
-