-
Mambo ya Walawi 18:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 “‘Usimkaribie mwanamke wakati wa hedhi anapokuwa si safi ili kufanya naye ngono.+
-
-
Mambo ya Walawi 20:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 “‘Mwanamume akifanya ngono na mwanamke mwenye hedhi, mwanamume huyo na mwanamke huyo wamefunua mtiririko wa damu yake.+ Ni lazima wote wawili wauawe.
-