-
Mambo ya Walawi 7:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 “Waambie Waisraeli, ‘Hampaswi kula mafuta yoyote+ ya ng’ombe dume au ya mwanakondoo dume au ya mbuzi.
-
-
1 Samweli 2:15-17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Pia, hata kabla ya mtu anayetoa dhabihu kuyafanya mafuta yafuke moshi,+ mtumishi wa kuhani alikuwa akija na kumwambia, “Mpe kuhani nyama akachome. Hatachukua nyama iliyochemshwa kutoka kwako, atachukua nyama mbichi tu.” 16 Mtu huyo alipomwambia, “Acha kwanza wahakikishe kwamba mafuta yamefuka moshi,+ kisha ujichukulie chochote upendacho,”* alisema: “Hapana, nipe sasa hivi; la sivyo, nitaichukua kwa nguvu!” 17 Kwa hiyo dhambi ya watumishi hao ikawa kubwa sana mbele za Yehova,+ kwa maana watu hao hawakuheshimu dhabihu ya Yehova.
-