-
Mambo ya Walawi 2:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe, kitakuwa kitu kitakatifu kabisa kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazoteketezwa.+
-
-
Mambo ya Walawi 6:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.
-
-
Mambo ya Walawi 24:8, 9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Kila siku ya Sabato, anapaswa kupanga mikate hiyo mbele za Yehova kwa ukawaida.+ Ni agano linalodumu kati yangu na Waisraeli. 9 Itakuwa ya Haruni na wanawe,+ nao wataila mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu kabisa kwa ajili ya kuhani kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto; itakuwa sheria ya kudumu.”
-