-
Mambo ya Walawi 14:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 “Hii ndiyo sheria inayomhusu mtu mwenye ukoma ambayo inapaswa kufuatwa siku ambayo utakaso wake unathibitishwa, anapopelekwa kwa kuhani.+
-
-
Mambo ya Walawi 15:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 “‘Mtu aliyekuwa akitokwa na umajimaji akipona na kuwa safi, atangoja kwa siku saba ili atakaswe, na ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji ya kijito, naye atakuwa safi.+
-