-
Mambo ya Walawi 25:40Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
40 Unapaswa kumtendea kama kibarua,+ kama mhamiaji. Atakutumikia mpaka wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50.
-
-
Wakolosai 4:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Enyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa njia ya uadilifu na haki, mkijua kwamba ninyi pia mna Bwana mbinguni.+
-