-
1 Wafalme 13:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Kisha kwa neno la Yehova akapaza sauti dhidi ya madhabahu hiyo na kusema: “Ee madhabahu, madhabahu! Hivi ndivyo Yehova anavyosema, ‘Tazama! Mwana anayeitwa Yosia,+ atazaliwa katika nyumba ya Daudi! Na juu yako atawatoa dhabihu makuhani wa mahali pa juu, wanaofukiza moshi wa dhabihu juu yako, naye atateketeza mifupa ya wanadamu juu yako.’”+
-
-
2 Wafalme 23:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Kisha akawaondoa makuhani wote katika majiji ya Yuda, naye akafanya mahali pa juu ambapo makuhani walifukizia moshi wa dhabihu pasifae kwa ibada, kuanzia Geba+ mpaka Beer-sheba.+ Alibomoa pia mahali pa juu palipokuwa kwenye malango yaliyokuwa katika njia ya kuingia kwenye lango la Yoshua mkuu wa jiji, malango yaliyokuwa upande wa kushoto mtu anapoingia katika lango la jiji.
-
-
2 Wafalme 23:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Basi makuhani wote wa mahali pa juu waliokuwa mahali hapo akawatoa dhabihu juu ya madhabahu hizo, naye akateketeza mifupa ya wanadamu juu yake.+ Kisha akarudi Yerusalemu.
-
-
Ezekieli 6:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Nami nitazitupa maiti za watu wa Israeli mbele ya sanamu zao zinazochukiza, nami nitaitawanya mifupa yenu kuzunguka pande zote za madhabahu zenu.+
-