-
Hesabu 18:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Kwa maana nimewapa Walawi sehemu ya kumi ambayo Waisraeli wananitolea mchango, mimi Yehova, ili iwe urithi wao. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.’”+
-
-
Kumbukumbu la Torati 10:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Ndio maana Lawi hana fungu wala urithi pamoja na ndugu zake. Yehova ndiye urithi wake, kama Yehova Mungu wako alivyokuwa amemwambia.+
-