-
Kutoka 29:38Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
38 “Hivi ndivyo vitu utakavyotoa kwenye madhabahu: kila siku, kwa kuendelea,+ utatoa wanakondoo dume wawili wenye umri wa mwaka mmoja.
-
-
Kutoka 29:42Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
42 Itakuwa dhabihu ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ukawaida katika vizazi vyenu vyote kwenye mlango wa hema la mkutano mbele za Yehova, mahali ambapo nitawatokea ili kuzungumza nanyi.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 2:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Sasa ninajenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wangu, ili niitakase kwake, nifukize uvumba wenye manukato+ mbele zake, na pia kwa ajili ya mikate ya tabaka* inayotolewa daima+ na pia dhabihu za kuteketezwa, asubuhi na jioni,+ nyakati za Sabato,+ miezi mipya,+ na kwenye majira ya sherehe+ za Yehova Mungu wetu. Huu ni wajibu wa kudumu kwa Waisraeli.
-