Hesabu 15:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 “‘Lakini mkimtolea Yehova mnyama dume kutoka katika mifugo yenu ili awe dhabihu ya kuteketezwa+ au dhabihu ya kutimiza nadhiri ya pekee+ au dhabihu za ushirika,+ Hesabu 15:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Mnapaswa pia kutoa nusu ya hini ya divai ili iwe toleo la kinywaji+ linalochomwa kwa moto lenye harufu inayompendeza* Yehova.
8 “‘Lakini mkimtolea Yehova mnyama dume kutoka katika mifugo yenu ili awe dhabihu ya kuteketezwa+ au dhabihu ya kutimiza nadhiri ya pekee+ au dhabihu za ushirika,+
10 Mnapaswa pia kutoa nusu ya hini ya divai ili iwe toleo la kinywaji+ linalochomwa kwa moto lenye harufu inayompendeza* Yehova.