Mambo ya Walawi 16:3 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 “Hivi ndivyo vitu ambavyo Haruni anapaswa kuleta anapoingia mahali patakatifu: ng’ombe dume mchanga kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+
3 “Hivi ndivyo vitu ambavyo Haruni anapaswa kuleta anapoingia mahali patakatifu: ng’ombe dume mchanga kwa ajili ya dhabihu ya dhambi+ na kondoo dume kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+