-
Kumbukumbu la Torati 15:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Lakini ikiwa ana kasoro, yaani, ni mlemavu, ni kipofu, au ana kasoro nyingine kubwa, usimtoe dhabihu kwa Yehova Mungu wako.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 17:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 “Usimtolee Yehova Mungu wako dhabihu ya ng’ombe dume au kondoo mwenye kasoro au mwenye tatizo lolote, kwa sababu jambo hilo litakuwa chukizo kwa Yehova Mungu wako.+
-