-
Kumbukumbu la Torati 32:48-50Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
48 Yehova akaongea na Musa siku hiyohiyo na kumwambia hivi: 49 “Panda juu ya mlima huu wa Abarimu,+ Mlima Nebo,+ ulio katika nchi ya Moabu, unaoelekeana na Yeriko, nawe utazame nchi ya Kanaani, ninayowapa Waisraeli waimiliki.+ 50 Kisha utakufa juu ya mlima utakaopanda hivi punde, na kuzikwa pamoja na watu wako,* kama Haruni ndugu yako alivyokufa juu ya Mlima Hori+ na kuzikwa pamoja na watu wake,
-