-
Zaburi 95:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu:
“Hawataingia katika pumziko langu.”+
-
-
Waebrania 3:18Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 Naye aliapa kwa akina nani kwamba hawataingia katika pumziko lake? Je, si wale waliotenda kwa kutotii?
-