-
Hesabu 26:63, 64Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
63 Hao ndio walioandikishwa na Musa na kuhani Eleazari walipowaandikisha Waisraeli katika jangwa tambarare la Moabu karibu na Yordani huko Yeriko. 64 Lakini hakuna hata mmoja wao aliyeandikishwa na Musa na kuhani Haruni wakati walipowahesabu Waisraeli katika nyika ya Sinai.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 2:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 Tulitembea kwa miaka 38 kutoka Kadesh-barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi, mpaka kizazi chote cha wanaume wa vita kilipoangamia kutoka kambini, kama Yehova alivyokuwa amewaapia.+
-
-
1 Wakorintho 10:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Hata hivyo, Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa maana waliangamizwa nyikani.+
-