-
Kumbukumbu la Torati 18:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
18 “Makuhani Walawi, naam, kabila lote la Lawi, halitakuwa na fungu au urithi pamoja na Waisraeli. Watakula dhabihu zinazochomwa kwa moto zinazotolewa kwa Yehova, ambazo ni urithi wake.+
-