Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:12, 13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 “Yeyote anayempiga mtu na kumuua lazima auawe.+ 13 Lakini ikiwa alimuua bila kukusudia na Mungu wa kweli akaruhusu jambo hilo litokee, basi nitawaonyesha mahali anapoweza kukimbilia.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:42
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 42 Mtu yeyote anayemuua mwenzake bila kukusudia na hakuwa akimchukia,+ ni lazima akimbilie katika mojawapo ya majiji hayo ili aishi.+

  • Kumbukumbu la Torati 19:4, 5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 4 “Sasa hivi ndivyo itakavyokuwa kuhusu muuaji ambaye huenda akakimbilia humo ili kuokoa uhai wake: Akimuua jirani yake bila kukusudia naye hakuwa akimchukia;+ 5 kwa mfano, anapoenda na jirani yake msituni kukusanya kuni, kisha anainua mkono wake ili akate mti kwa shoka, lakini shoka lichomoke kwenye mpini na kumgonga jirani yake na kumuua, muuaji huyo anapaswa kukimbilia katika mojawapo ya majiji hayo.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki