-
Mwanzo 4:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende zetu shambani.” Basi walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+
-
-
Mwanzo 4:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 Basi Mungu akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kwa sauti kutoka ardhini.+
-
-
Luka 11:50Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
50 ili damu ya manabii wote iliyomwagwa tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu idaiwe kutoka kwa kizazi hiki,+
-