-
Kutoka 26:37Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
37 Utatengeneza nguzo tano za mshita na kuzifunika kwa dhahabu kwa ajili ya pazia hilo. Kulabu zake zitakuwa za dhahabu, nawe utazitengenezea vikalio vitano vya shaba.
-
-
Kutoka 36:38Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
38 na pia nguzo zake tano na vibanio vyake. Akafunika kwa dhahabu sehemu ya juu ya nguzo hizo pamoja na kulabu* zake, lakini vikalio vyake vitano vilikuwa vya shaba.
-