-
2 Samweli 6:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Wale waliobeba+ Sanduku la Yehova walipokuwa wamepiga hatua sita, Daudi alitoa dhabihu ya ng’ombe dume na mnyama aliyenoneshwa.
-
-
1 Mambo ya Nyakati 15:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Kisha Walawi wakalibeba Sanduku la Mungu wa kweli mabegani mwao kwa kutumia fito zake,+ kama Musa alivyoamuru kwa neno la Yehova.
-