Kutoka 30:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 12 “Wakati wowote unapowahesabu wana wa Israeli,+ ni lazima kila mmoja wao anipe mimi Yehova fidia kwa ajili ya nafsi yake* watu wanapohesabiwa. Watafanya hivyo ili wasipatwe na pigo lolote wanapoandikishwa.
12 “Wakati wowote unapowahesabu wana wa Israeli,+ ni lazima kila mmoja wao anipe mimi Yehova fidia kwa ajili ya nafsi yake* watu wanapohesabiwa. Watafanya hivyo ili wasipatwe na pigo lolote wanapoandikishwa.