-
2 Mambo ya Nyakati 30:2Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
2 Hata hivyo, mfalme, wakuu wake, na kutaniko lote Yerusalemu likaamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili,+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 30:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Kisha wakamchinja mnyama wa Pasaka katika siku ya 14 ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi wakaona aibu, kwa hiyo wakajitakasa na kuleta dhabihu za kuteketezwa katika nyumba ya Yehova.
-