-
Kutoka 40:36Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
36 Kila mara wingu lilipoinuka kutoka juu ya hema la ibada, Waisraeli walivunja kambi katika hatua zote za safari yao.+
-
-
Hesabu 2:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Yuda ni 186,400. Wanapaswa kuwa wa kwanza kuondoka.+
-
-
Hesabu 2:16, 17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Rubeni ni 151,450, nao wanapaswa kuwa wa pili kuondoka.+
17 “Hema la mkutano linapohamishwa,+ kambi ya Walawi inapaswa kuwa katikati ya kambi nyingine zote.
“Wote wanapaswa kusafiri kwa kufuata utaratibu uleule wanaofuata wanapopiga kambi,+ kila mtu mahali pake, kulingana na makundi yao ya makabila matatu-matatu.
-
-
Hesabu 2:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Efraimu ni 108,100, nao wanapaswa kuwa wa tatu kuondoka.+
-
-
Hesabu 2:31Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
31 “Watu wote walioandikishwa katika majeshi ya kambi ya Dani ni 157,600. Wanapaswa kuwa wa mwisho kuondoka,+ kulingana na kundi lao lenye makabila matatu.”
-