-
Kutoka 2:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Sasa kuhani wa Midiani+ alikuwa na mabinti saba, nao wakaja kuteka maji na kujaza vyombo vya kunyweshea kondoo wa baba yao.
-
-
Kutoka 18:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Basi Yethro, baba mkwe wa Musa, pamoja na wana na mke wa Musa, wakaja kwa Musa nyikani ambako alikuwa amepiga kambi karibu na mlima wa Mungu wa kweli.+
-