-
Mwanzo 48:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Basi akaendelea kuwabariki siku hiyo,+ akisema:
“Waisraeli na walitaje jina lenu wanapotangaza baraka, wakisema,
‘Mungu na awafanye muwe kama Efraimu na kama Manase.’”
Hivyo akaendelea kumtanguliza Efraimu mbele ya Manase.
-