-
Kutoka 29:32Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
32 Haruni na wanawe wataila+ nyama ya kondoo dume huyo na mikate iliyo katika kikapu kwenye mlango wa hema la mkutano.
-
-
Mambo ya Walawi 6:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni mtamtolea Yehova toleo hilo mbele ya madhabahu.
-
-
Mambo ya Walawi 10:12, 13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Kisha Musa akamwambia Haruni na wanawe waliobaki, Eleazari na Ithamari: “Chukueni toleo la nafaka lililobaki kutoka katika dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, mle toleo hilo karibu na madhabahu kama mkate usio na chachu,+ kwa sababu ni toleo takatifu kabisa.+ 13 Mtakula toleo hilo mahali patakatifu,+ kwa sababu ni posho yenu na posho ya wana wenu kutoka kwenye dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.
-