-
Kutoka 34:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Mtamkomboa mzaliwa wa kwanza wa punda kwa kondoo. Lakini msipomkomboa, basi mtamvunja shingo. Mnapaswa kumkomboa kila mzaliwa wenu wa kwanza kati ya wana wenu.+ Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.
-
-
Mambo ya Walawi 27:27Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
27 Ikiwa mtu anamkomboa mnyama asiye safi kulingana na thamani iliyokadiriwa, anapaswa kulipa thamani ya mnyama huyo pamoja na sehemu ya tano ya thamani hiyo.+ Lakini asipomkomboa, mnyama huyo atauzwa kulingana na thamani iliyokadiriwa.
-