-
Mambo ya Walawi 22:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Waambie, ‘Katika vizazi vyenu vyote, mzao wenu yeyote asiye safi atakayekaribia vitu vitakatifu ambavyo Waisraeli wanavitakasa kwa ajili yangu, mimi, Yehova, ataangamizwa kutoka mbele zangu.+ Mimi ni Yehova.
-
-
Waebrania 10:28Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 Mtu yeyote ambaye ameipuuza Sheria ya Musa hufa bila huruma, kwa ushuhuda wa watu wawili au watatu.+
-