-
Kutoka 14:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Wakamwambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi huko Misri ndiyo sababu umetuleta hapa tufie nyikani?+ Ni jambo gani hili ulilotutendea kwa kututoa Misri?
-
-
Kutoka 17:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Lakini watu walikuwa na kiu sana mahali hapo, nao wakaendelea kumnung’unikia Musa+ wakisema: “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”
-
-
Hesabu 16:13, 14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Je, unafikiri ni jambo dogo kututoa katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili utuue nyikani?+ Sasa, je, unataka kujifanya kiongozi mwenye mamlaka kamili juu yetu?* 14 Isitoshe, hujatuleta katika nchi yoyote inayotiririka maziwa na asali+ wala kutupatia urithi wa mashamba au shamba la mizabibu. Je, unataka kutoboa macho ya watu hawa? Sisi hatutakuja!”
-