Mwanzo 36:8 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Kwa hiyo Esau akahamia eneo lenye milima la Seiri.+ Esau ndiye Edomu.+ Kumbukumbu la Torati 2:4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 4 Nawe uwaamuru watu hivi: “Mtapita karibu na mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri,+ nao watawaogopa ninyi,+ basi mnapaswa kuwa waangalifu sana. Kumbukumbu la Torati 23:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 “Msimchukie Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yenu.+ “Msimchukie Mmisri, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi yao.+
4 Nawe uwaamuru watu hivi: “Mtapita karibu na mpaka wa ndugu zenu, wazao wa Esau,+ wanaokaa Seiri,+ nao watawaogopa ninyi,+ basi mnapaswa kuwa waangalifu sana.
7 “Msimchukie Mwedomu, kwa sababu yeye ni ndugu yenu.+ “Msimchukie Mmisri, kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi yao.+