-
Kutoka 14:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Wakamwambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi huko Misri ndiyo sababu umetuleta hapa tufie nyikani?+ Ni jambo gani hili ulilotutendea kwa kututoa Misri?
-
-
Kutoka 15:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Basi watu wakaanza kumnung’unikia Musa,+ wakisema: “Tutakunywa nini?”
-