-
Kutoka 16:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+
-
-
Hesabu 11:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Lakini sasa tunadhoofika. Hatuoni kitu kingine chochote isipokuwa hii mana.”+
-