-
Isaya 14:24Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Yehova wa majeshi ameapa hivi:
“Kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyotukia,
Na kama nilivyoamua, ndivyo itakavyotimia.
-
-
Mika 7:20Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
20 Utamtendea Yakobo kwa uaminifu,
Na Abrahamu kwa upendo mshikamanifu,
Kama ulivyowaapia mababu zetu tangu siku za kale.+
-