Kutoka 13:21 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+ Kutoka 23:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 “Ninamtuma malaika awatangulie+ ili awalinde safarini na kuwapeleka mahali nilipotayarisha.+ Kutoka 29:45 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 45 Nitakaa* miongoni mwa Waisraeli, nami nitakuwa Mungu wao.+ Isaya 8:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Fanyeni mpango, lakini utavunjwa! Semeni mnachotaka, lakini hakitafanikiwa,Kwa maana Mungu yuko pamoja nasi!*+
21 Sasa Yehova alikuwa akiwatangulia mchana katika nguzo ya wingu ili awaongoze njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili awape nuru, waweze kusafiri mchana na usiku.+
10 Fanyeni mpango, lakini utavunjwa! Semeni mnachotaka, lakini hakitafanikiwa,Kwa maana Mungu yuko pamoja nasi!*+