-
Hesabu 22:38Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
38 Balaamu akamjibu hivi Balaki: “Sasa nimekuja kwako. Lakini, je, nitaruhusiwa kusema jambo lolote? Ninaweza kusema tu maneno ambayo Mungu anatia kinywani mwangu.”+
-
-
Hesabu 23:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Balaamu akasema: “Je, sipaswi kusema neno lolote ambalo Yehova anatia kinywani mwangu?”+
-