-
Hesabu 23:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 Halafu Balaamu akamwambia Balaki: “Kaa hapa karibu na dhabihu yako ya kuteketezwa, nami nitaenda. Labda Yehova atawasiliana nami. Jambo lolote atakalonifunulia, nitakwambia.” Basi akaenda juu ya kilima kilicho wazi.
-
-
Hesabu 23:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Kisha Balaamu akamwambia Balaki: “Kaa hapa karibu na dhabihu yako ya kuteketezwa ninapoenda pale kuwasiliana Naye.”
-
-
Hesabu 23:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
Sasa inaweza kusemwa hivi kumhusu Yakobo na Israeli:
‘Tazameni mambo ambayo Mungu ametenda!’
-