Hesabu 24:3, 4 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 3 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Maneno ya Balaamu mwana wa Beori,Na maneno ya mwanamume ambaye macho yake yamefunguliwa, 4 Maneno ya mtu anayesikia neno la Mungu,Aliyeona maono ya Mweza-Yote,Aliyeinama chini macho yakiwa yamefumbuliwa:+
3 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Maneno ya Balaamu mwana wa Beori,Na maneno ya mwanamume ambaye macho yake yamefunguliwa, 4 Maneno ya mtu anayesikia neno la Mungu,Aliyeona maono ya Mweza-Yote,Aliyeinama chini macho yakiwa yamefumbuliwa:+