-
Kumbukumbu la Torati 4:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo ambayo Yehova alitenda kuhusiana na kisa cha Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu alimwangamiza kila mtu miongoni mwenu aliyemfuata Baali wa Peori.+
-
-
Yoshua 22:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Je, dhambi tuliyotenda kule Peori haikutosha? Mpaka leo hatujajitakasa kutokana nayo hata ingawa kusanyiko la Yehova lilipata pigo.+
-
-
Hosea 9:10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
10 “Niliwapata Waisraeli kama zabibu nyikani.+
Kama matunda ya kwanza ya tini niliwaona mababu zenu.
-