Mwanzo 46:8, 9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 8 Sasa haya ndiyo majina ya wana wa Israeli waliokuja Misri,+ Yakobo na wanawe: mzaliwa wa kwanza wa Yakobo alikuwa Rubeni.+ 9 Wana wa Rubeni walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+ Kutoka 6:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Hawa ndio viongozi wa nyumba ya baba zao: Wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+ Hizo ndizo koo za Rubeni.
8 Sasa haya ndiyo majina ya wana wa Israeli waliokuja Misri,+ Yakobo na wanawe: mzaliwa wa kwanza wa Yakobo alikuwa Rubeni.+ 9 Wana wa Rubeni walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+
14 Hawa ndio viongozi wa nyumba ya baba zao: Wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli,+ walikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.+ Hizo ndizo koo za Rubeni.