-
Mwanzo 35:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni.
-
-
Kutoka 6:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli, mwana wa mwanamke Mkanaani.+ Hizo ndizo koo za Simeoni.
-